Monday, December 29, 2014
SG NIKUPE NINI
Msanii wa mziki SG anayefanya vizuri kwenye soko la bongo fleva ameachia nyimbo kali inayoitwa NIKUPE NINI
hebu udownload hapa-
Tuesday, December 9, 2014
Sunday, December 7, 2014
Friday, December 5, 2014
JE UNAJUA ALICHOKISEMA DIAMOND KWA ALIKIBA???..MSIKIE HAPA..!
es salaam December 2 akitokea Afrika
Kusini akiwa na tuzo zake 3 za Channel O,
alikutana na wadau, mashabiki pamoja na
waandishi pale Escape 1 kuzungumzia
ushindi wake na safari nzima ilivyokuwa.
Miongoni mwa maeneo aliyozungumzia ni
pamoja na umoja unaohitajika kwa wasanii
wa Tanzania ili waweze kuwa wengi katika
majukwaa ya kimataifa.
“Ombi langu mimi kiukweli ni moja tu,
Unajua lazima kama alivyosema
mheshimiwa hapa muziki wetu ushakuwa,
watu wanaukubali na tushaona njia kama
tunaweza so lazima sisi tujiamini wenyewe
tusikaekae sana nyuma kwasababu watu
kuna ile kuogopa cha kuona kama aah
watanipokea kweli. Na zile za aah
ntashindwa kuongea kizungu ntachekwa mi
nishachekwa sana kwenye kizungu sana,
lakini saizi naweza nikaingia hata Big
Brother na broken zangu hivyo hivyo lakini
napita hivyo hivyo nimeingia pale juzi Fally
hajaongea mi nimeongea “.
Diamond pia ameendelea kuwaomba wasanii
wenzake kutotengenezeana beef za wenyewe
kwa wenyewe, na hakusita kumtaja Ally Kiba
wakati akitoa mifano alipokuwa Nigeria na
kujiona yuko peke yake hakuna msanii
yeyote wa nyumbani zaidi yake.
“Kingine mimi nilikuwa nataka niombe
tufute zile zama zakutengenezeana matatizo
wasanii wenyewe kwa wenyewe wa Tanzania
kwasababu haiwezi kutusaidia kabisa,
alikuwa anaongea kitu mkubwa hapa,
nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama
mkiwa kwasababu niko peke yangu,
nikiangalia huku simuoni hata Jaguar, huku
siwaoni wasanii wenzangu namtafuta
Dimpoz namtafuta nani, hata Ally simuoni
yaani niko peke yangu.”
Tuesday, December 2, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)