Watch "Alikiba - Chekecha Cheketua (Official Video)" on YouTube - https://youtu.be/ZbCmbWktYh4
Tuesday, June 30, 2015
Sunday, June 14, 2015
AJALI MBAYA YATOKEA IRINGA
Basi la abiria la Another G limepata ajali eneo la Kinyanambo Mafinga wilaya ya Mufindi katika mkoa wa Iringa. Gari hilo limegongana usokwa uso na lori aina ya Scania ambapo taarifa za awali zinaeleza kwamba kutoka kwenye gari hilo la abiria wamefariki watu 23 wakati kutoka kwenye lori amepona mtu mmoja pekee na wengine wote wamefariki akiwemo dereva wa lori hilo.
Aidha wakazi wa maeneo jirani ambapo ajali hiyo imetokea wameeleza kwamba ajali hiyo ni mbaya sana.
Ndugu msomaji wa mtandao huu endelea kufuatilia mtandao huu kwa habari zaidi juu ya ajali hii.
Saturday, June 13, 2015
WASHINDI WA TUZO ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS 2015
ENTERTAINMENT
Orodha kamili ya washindi wa Kilimanjaro Music Awards 2015.
Hii ni orodha kamili ya washindi wa tuzo za muziki Tanzania Kilimanjaro Music Awards 2015 zilizofanyika 13 June 2015 Mlinani City jijini Dar es salaam.
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtumbuizaji Bora wa Muziki wa Kiume wa Mwaka ameshinda>Ali Kiba.
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mwimbaji bora wa kike Bongo Fleva ameshinda> Vanessa Mdee aka V Money
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume Taarab ameshinda >Mzee Yusuph
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kike Taarab ameshinda> Isha Mashauzi.
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mwimbaji Bora wa Kiume Kutoka Bendi ameshinda >Jose Mara
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka wa Muziki wa Taarab imeshinda >Mapenzi Hayana Dhamana Yake Isha Mashauzi
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Mwaka imeshinda ‘Mwana‘ Ya Ali Kiba
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili Kutoka Bendi imeshinda >’ Walewale ‘ ya FM Academia
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Muziki wa R&B imeshinda single ya Jux >‘Sisikii’
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Hip Hop imeshinda single ya Profesa Jay> Kipi Sijasikia Ft Diamond @diamondplatnumz
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Reggae&Dance Hall ameshinda > Maua Sama
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Rapa Bora wa Mwaka Muziki wa Bendi ameshinda> Ferguson
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Msanii Bora wa Hip Hop Ameshinda >Joh Makini
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki wameshinda Kenya >Sauti Sol Kupitia wimbo wao wa Sura Yako
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka Taarab ameshinda >Mzee Yusuph
go
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka Muziki wa Bongo Fleva ameshinda> Ali Kiba.
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka muziki wa Bendi ameshinda > Jose Mara
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Msanii Bora Chipukizi ameshinda >Baraka Da Prince
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka Hip Hop imeshindwa na >Joh Makini
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Bendi Bora ya Mwaka wameshinda> FM Academia
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Nyimbo wa Mwaka Muziki wa Bongo Fleva ameshinda > Nahreel
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Nyimbo wa Mwaka Taarab ameshinda> Enrico
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Mtayarishaji Bora wa Nyimbo wa Mwaka Bendi ameshinda> Amoroso
#FahamuKTMA2015 Tuzo ya Wimbo Bora Wenye Vionjo vya Asili ya Kitanzania ameshinda> Mrisho Mpoto
#FahamuKTMA2015 Kikundi Bora cha Mwaka Muziki wa Taarab wameshinda >Jahazi Modern Taarab
#FahamuKTMA2015 Kikundi Bora cha Mwaka Muziki Wa Bongo Fleva Wameshinda >Yamoto Band
Friday, June 5, 2015
SAMWEL SITTA ACHUKUA FOMU, ATAKA MIAKA 5 TU KUWANG'OA WATU HAWA
Waziri wa Uchukuzi Samweli Sitta akionesha fomu ya kugombea urais mara katika ukumbi wa NEC makao makauu Dodoma.