Basi la abiria la Another G limepata ajali eneo la Kinyanambo Mafinga wilaya ya Mufindi katika mkoa wa Iringa. Gari hilo limegongana usokwa uso na lori aina ya Scania ambapo taarifa za awali zinaeleza kwamba kutoka kwenye gari hilo la abiria wamefariki watu 23 wakati kutoka kwenye lori amepona mtu mmoja pekee na wengine wote wamefariki akiwemo dereva wa lori hilo.
Aidha wakazi wa maeneo jirani ambapo ajali hiyo imetokea wameeleza kwamba ajali hiyo ni mbaya sana.
Ndugu msomaji wa mtandao huu endelea kufuatilia mtandao huu kwa habari zaidi juu ya ajali hii.
No comments:
Post a Comment