Diamond Platinumz amehudhuria tuzo za MTV MAMA2014 akiwa na kampani ya watu kadhaa kutoka Tanzania na mchumba wake Wema Abraham Sepetu, katika ukumbi wa ICC Arena, hapa Durban Afrika Kusini.
Diamond anawania tuzo mbili, Best Male na Best Collaboration (Number One Remix ft Davido).
Utaratibu ulianzia kwenye zuria jekundu aka Red Carpet na kupoz kwa ajili ya picha na waliungana na watu mbalimbali maarufu.
Kuhusu tuzo alizokuwa akiwania Diamond, Tuzo ya Best Collabo kupitia wimbo wa Number One Rmx imechukuliwa na Uhuru Ft DJ Bucks, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha -Y-tjukutja, na tuzo ya Best Male Artist ilichukuliwa na Davido.
Hongera kwa Diamond kwa hatua kubwa kwenye muziki wa Kimataifa na kuwakilisha Tanzania Vizuri.
Saturday, June 7, 2014
DIAMOND PLATNUMZ AMEHUDHURIA TUZO ZA MTV MAMA 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment