NI pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi,
mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume
wa staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry
‘Monalisa‘, George Tyson amefariki dunia
baada ya kupata ajali mbaya ya gari eneo la
Morogoro akitokea mkoani Dodoma. Tyson
alikuwa ameambatana na watu kadhaa
katika safari hiyo.
No comments:
Post a Comment