Sunday, July 20, 2014

DUH! DUNIA HII HATARI ONA MWENYEWE

Bora uwe na hamsini nzima kuliko mia mbovu. Vijana hawa walikua wakiiba wakakamatwa na wananchi wenye hasira kali na kuwekwa taili za gari na kuchomwa moto.

No comments:

Post a Comment