AJALI MBAYA IMETOKEA HUKO MUSOMA LEO HII NI AJALI MBAYA
Ajali kubwa sana imetokea huko musoma leo,ni
mabasi mawili yamegongana uso kwa uso!!! Hadi
sasa watu zaidi ya #34 wameripotiwa kufariki
dunia papo hapo!!!
Na majeruhi ni #83. Inasikitisha sana kwani
nimeshindwa kuposti hata picha za majeruhi,,
No comments:
Post a Comment