Friday, September 5, 2014

AJALI MBAYA IMETOKEA HUKO MUSOMA LEO HII NI AJALI MBAYA


Ajali kubwa sana imetokea huko musoma leo,ni
mabasi mawili yamegongana uso kwa uso!!! Hadi
sasa watu zaidi ya #34 wameripotiwa kufariki
dunia papo hapo!!!
Na majeruhi ni #83. Inasikitisha sana kwani
nimeshindwa kuposti hata picha za majeruhi,,

No comments:

Post a Comment