BREAKING NEWS: MELI YAZAMA
ZIWA VICTORIA HIVI PUNDE
Meli ya mizigo ya Kampuni ya FB Matara
iliyokuwa inatoka Bukoba kwenda Mwanza ikiwa
na wafanyakazi kumi na shehena ya sukari
imezama ziwa victoria katikati ya visiwa vya
Kerebe na Bumbile.
Taarifa kamili itakujia baadaye
No comments:
Post a Comment