Sunday, November 30, 2014

BABA LEVO AMCHANA ALLY KIBA KUWA AJINYONGE

Ally kiba naomba uingie mwenyeewe coz umeyataka mwenyewe.. sungura ulikuwa umesha mkamata eti umemuachia kiboya boya sasa kumkamata tena itaghalimu miaka mitano... Sisi wote Tupo kwenye Sanaa ila nguvu tunazidiana ndomana ally nilikuona mkombozi Wetu coz we ni fundi muziki.. Inakuwa je unajianguaha kwenye kumi na nane?????? Badala ya kufunga unategemea penati... Ona sasa refa kapeta... Na kufanya Kwa sasa tukubali bwana @diamondplatnum ni #KIBOKO japo alikwapua Ka aidia kangu na ndo kanakompa mijituzo.. Ila nime hands up... Ally kiba na diamond wote ni ma home boy kutoka KIGOMA ila mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni... Hii ni kick kuna mtu yeyote mwenye snea??

No comments:

Post a Comment