Kila Namna Sijawahi Kuona: Sabby Angel
Wawili wapendanapo dunia huwa
maua !...........Muigizaji mwenye mvuto wa aina
yake katika kiwanda cha filamu Tanzania Sabby
Angel amesema kuwa Mahaba anayopewa na
Bob Junior hajawahi kuyapata popote pale
kwani anamridhisha kwa kila namna kiasi cha
kufurahia maisha yake ya kimapenzi kwasasa,
yaani full raha tupu!.
Sabby amesema kuwa ametembea huku na
huko lakini kwa Bob Junior amenyoosha
mikono juuu!
Wawili hao wiki ilopita waliongozana wote
kwenda Tanga ambapo Bob Junior alikuwa na
show huko.
Sabby
No comments:
Post a Comment