waliingiziwa fedha katika akaunti zao binafsi ni;
Mhe.
Andrew Chenge (Mb)
Zitto: Andrew Chenge aliingiziwa shilingi bilioni
1.6.
Zitto: Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) na Waziri wa 62
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi shilingi
bilioni 1.6.
Zitto: Mhe.William Ngeleja (Mb) na ambaye
alikuwa Waziri wa Nishati na Madini alipewa
shilingi milioni 40.4
Zitto: Ndg. Daniel N. Yona ambaye alikuwa pia
Waziri wa Nishati na Madini alipewa shilingi milioni
40.4.
Zitto: Ndg. Paul Kimiti ambaye ni Mbunge Mstaafu
wa Jimbo la Sumbawanga
alipewa shilingi milioni 40.4
Zitto: Dr. Enos S. Bukuku ambaye alikuwa Mjumbe
wa Bodi ya TANESCO aliingiziwa shilingi milioni
161.7.
Zitto: Upande wa Majaji Prof. Eudes Ruhangisa,
aliingiziwa milioni 404.25 na J.A.K Mujulizi
aliingiziwa shilingi milioni 40.4
Zitto: kwa upande wa Watumishi wa umma,Ndg.
Philip Saliboko ambaye alikuwa mtumishi wa RITA
aliingiziwa
shilingi milioni 40.4
Zitto: Ndg. Emmanuel Daniel Ole Naiko ambaye
alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa (TIC) aliingiziwa
shilingi milioni 40.4
Zitto: Ndg. Lucy L. Appollo ambaye ni Mtumishi
wa TRA aliingiziwa shilingi milioni 80.8.
Zitto: Viongozi wa Madhehebu ya
Dini walioingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni
Askofu 63
Methodius Kilaini shilingi 80.9
Zitto: Askofu Eusebius Nzigirwa shilingi milioni
40.4 na Mchungaji Alphonce Twimann Ye Simon
shilingi milioni 40.4.
Zitto: Watu walienda kugawana fedha kwenye
Benki tajwa wakiwa na mifuko ya rambo,
sandarusi,
mabox, magunia na lumbesa TegetaEscrow
Zitto: Bilioni 73.5
zilitolewa na kugawanywa kwa watu mbalimbali
kinyume cha
Sheria ya Benki Kuu na Taasisi za Fedha ya 2006
Zitto: Taarifa
ya benki (bank statements) yenye majina na
akaunti zote
zilizoingiziwa fedha zimeambatishwa.
Zitto: Kamati imebaini mawasiliano kutoka kwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
No comments:
Post a Comment