Mkurugenzi mtendaji wa hospitali hiyo, Dk
Marina Njelekela na kusambazwa kwenye
vyombo vya habari, Hospitali ya Taifa ya
Muhimbili (MNH), imepandisha gharama ambapo
mgonjwa atakayelazwa atalazimika kulipa
Sh5,000 kwa siku.
Taarifa hiyo ilibainisha kuwa gharama mpya
ambazo zitalipwa kwa wagonjwa wote wa rufaa
zilianza kutumika Oktoba 17, mwaka huu
ambapo taarifa zaidi kutoka hospitalini hapo
zimebainisha kuwa tangu utaratibu huo uanze,
kumekuwa na tofauti kubwa na zamani kwa
sababu wagonjwa ambao hawana uwezo wa
kulipia kiasi hicho, hawalali hospitali hata kama
hali zao zingewataka kulazwa.
No comments:
Post a Comment