Wednesday, October 29, 2014

Breaking: CHIDI BENZ AFANIKIWA KUPATA DHAMANA


Hatimaye Rapa Chid Benz leo amefanikiwa
kupata dhamana na kutolewa rumande na
kurejea uraiani. Anatakiwa kufika
mahakamani Novemba 11 ambapo kesi yake
itatajwa tena.
Una lipi la kumwambia Chid Benz baada ya
kupata dhamana na kurejea uraiani?

No comments:

Post a Comment