Mwili wa muigizaji Adam Kuambiana ambaye pia
alikuwa director wa filamu nchini aliyefariki jana
alfajiri utaagwa kesho Jumatatu, Jumanne mwili
huo utapelekwa viwanja vya Leaders Club
ambapo mashabiki wake watapata nafasi ya
kuuaga. Atazikwa katika makaburi ya Kinondoni,
Dar e salaam hiyo hiyo Jumanne kwa mujibu wa
taarifa iliyotolewa na mkewe anayeitwa Janeth
No comments:
Post a Comment