OMA KWELI ! MASHABIKI ‘WAMPA MAKAVU
LIVE" NAY WA MITEGO BAADA YA KUDAI
KUWA NDIYE RAPPER BORA ZAIDI
TANZANIA...JIONEE HAPA
Nay wa Mitego anaamini kuwa ukimto
Profesa Jay wa zamani (anadai huyu w
sasa kachoka) yeye ndiye rapper bora
zaidi kuliko mwingine Tanzania. Laki
mashabiki wanaikubali kauli hiyo? Hel
NO!!
Octavian Kiwale
Unatafuta kick tu wewe, nadhubutu
kukuambia ukizungumzia HIP HOP hat
killer tu hujamfikia ndo ujiringanishe
Prof?//////// FID Q ndo usimwongelee
kabisa
Winnie Glory
We ney fid Q na joe makin huwafiki h
robo, mbuz tu wew ndo man unalelew
na siwema
TheBoy Junior
Na je nakula ujana ipo wapi hip hop a
bongo fleva na akisema ye ndo anaong
ukweli nash mc tumuweke wapi sasa?
Asitafte kiki wasanii wa hip hop wengi
na wanafanya vile hip hop inapaswa
kuwa. Huyu hana jipya tena tafta
Scandal utoke kama diamond na si
kwakusema we ndo hip hop hata hip h
yenyewe huijui….
Agapito Petro
Mwana fa,ngwair(r.i.p.),kala jere100,
n.k. Huwafikii hata kiduchu
Laurent Mwamlima
Ney umeishaaaa… kajititie tu Hata
MPOKI MJUNI hata mzee MGARI
humfikii kwa hip hop
Vitalis Kaizer
Hata 50 bora ya hip hop sidhani kama
umo bado sanaaaaaaa kuropoka sio hi
hop jipangee!!
Dotto Kondo
Huyu jamaa bhana,sometimes nahc
huwa akili zinamruka
Ze Jap Suprah
Chiz wewe mwambie aandike kip
sijasikia hafu tuone
Rashid Mtoi
Dogo janja mwenyewe humfikii hata
robo
Tuesday, May 13, 2014
NAY WA MITEGO APEWA MAKAVU NA MASHABIKI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment