MSANII wa filamu Rachel Haule ‘Recho’
aliyefariki dunia siku ya jana atazikwa jijini
Dar es Salamm siku ya kesho badala ya
Songea kama ilivyopangwa hapo awali.
Ratiba ya kuuaga mwili wa marehemu
inabaki pale pale siku ya kesho Leaders Club
na baadae kwenda kuzikwa katika makaburi
ya Kinonondoni.
No comments:
Post a Comment