YOU HEAARRDDD: T.I.D NA RECHO KATIKA
MAHABA MAZITO
Taarifa zinazotolewa na Ma snitch wa kitaani
zinadai kuwa Wasanii T.i.D na Mwanadada
Recho wako katika dimbwi zito la mahaba kwa
zaidi ya miezi mitatu sasa wamekua
wakionekana wakiwa pamoja hadi kwenye show
za T.i.D mikoani ingawa wao wenyewe
hawataki mahusiano yao yawe wazi kwa jamii,
hata mhariri wetu Gossip Cop Soudy Brown
alipojaribu kuwacheki kupitia simu zao za
mkononi wote walikanusha na T.I.D akadai
kuwa eti etiiiii amewahi kukutana na Recho
mara mbili tu.
Taarifa nyingine zinasema Recho sasa hivi
hataki hata kupiga deal zake za muziki zaidi ya
kuwa pembeni ya mzee mnyama, so mara zote
anashinda kinondoni kwa kina mzee kigogo.
YOU HEEEARRRDDDD!!!
Friday, May 16, 2014
T.I.D NA RECHO KTK MAHABA MAZITO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment