Monday, December 29, 2014
SG NIKUPE NINI
Tuesday, December 9, 2014
Sunday, December 7, 2014
Friday, December 5, 2014
JE UNAJUA ALICHOKISEMA DIAMOND KWA ALIKIBA???..MSIKIE HAPA..!
Tuesday, December 2, 2014
Sunday, November 30, 2014
BABA LEVO AMCHANA ALLY KIBA KUWA AJINYONGE
Wednesday, November 26, 2014
SOMA MAJINA YA WALIOKULA FEDHA ZA AKAUNTI YA ESCROW KATIKA RIPOTI YA PAC INAYOSOMWA LEO BUNGENI.
Tuesday, November 25, 2014
Monday, November 24, 2014
Thursday, November 20, 2014
Monday, November 17, 2014
MTOTO ALIYEGEUKA NYOKA AZUA BALAA…!!
Wednesday, November 12, 2014
BREAKING:RAPPER GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
Saturday, November 8, 2014
SITTI ABBAS MTEVU KUJIVUA UMISS TANZANIA

Wednesday, November 5, 2014
RAIS KUOMBWA MSAADA WA FEDHA KUTOA MWILI WA DADA AKE MOCHWARI
BOB JUNIOR AMPA RAHA SABBY ANGEL
Tuesday, November 4, 2014
WEMA SEPETU ACHAFUA HUKO INSTAGRAM WANAOSEMA AZAE

Monday, November 3, 2014
Huyu ndie kijana wa CCM inayesemakana Kampiga Waziri Mkuu Mstafu Mzee Warioba na Chupa ya Maji leo Ubungo
Thursday, October 30, 2014
WOLPER AONGEA KWA UCHUNGU KUPITIA HILI GAZETI NA KUKANUSHA HII HABARI

BREAKING:MSANII MANENTO AFARIKI DUNIA
Wednesday, October 29, 2014
MSANII NAY WA MITEGO NA MPENZI WAKE WAPATA MTOTO

DIAMOND KUTUNUKIWA PHD
Breaking: CHIDI BENZ AFANIKIWA KUPATA DHAMANA
Tuesday, October 28, 2014
Breaking: MHIMBILI WAPANDISHA GHARAMA ZA VITANDA
Monday, October 27, 2014
BREAKING :CHID BENZI KUFIKISHWA MAHAKAMANI
Sunday, October 26, 2014
Friday, October 24, 2014
Breaking: CHIDI BENZI AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA
Kuna taarifa zilitoka on millardayo.com leo
jioni kuhusu msanii wa muziki wa kizazi
kipya Chidi Benz kukamatwa na dawa za
kulevya katika uwanja wa ndege wa
kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam
akiwa anaelekea Mbeya kwenye show ya
Instagram Party ambayo inatarajiwa
kufanyika kesho.
millardayo.com iliahidi kuzifatilia hizi taarifa
kwa Polisi ili kupata uthibitisho ambapo
imefahamika ni kweli msanii huyu
amekamatwa leo mchana akiwa katika
sehemu ya kuondokea uwanjani hapo
ambapo baada ya alifanyiwa upekuzi na
kubainika amebeba dawa hizo ambapo ni
kete 14 za dawa za kulevya kwenye mfuko
wa shati lake na misokoto miwili ya bangi.
Kwenye mahojiano na millardayo.com
kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Hamisi
Selemani ambae ni kamanda wa polisi katika
viwanja vya ndege Tanzania amethibitisha
kukamatwa kwa Chidi Benz na kusema
msanii huyu alipohojiwa amekiri kweli kuwa
dawa hizo ni zake.
Amesema ‘Alikuja Airport kwa ajili ya safari
kwenda Mbeya, kete hizo 14 za dawa za
kulevya zilikua zimefungwafungwa na nailoni
na pia amekutwa na vifaa vingine
vinavyohusiana na watu wanaotumia dawa za
kulevya, kuna kigae na kijiko na yeye
mwenyewe anakiri ni vitu vyake huwa
anatumia ila anashangaa ni kwa nini
vimeweza kubaki kwenye mfuko,
tutamfikisha Mahakamani baada ya kuweza
kubaini ni dawa aina gani za kulevya’
BASATA KUMVUA TAJI MISS TANZANIA
Tuesday, October 21, 2014
Sunday, October 19, 2014
MSIKILIZE MENEJA WA T.I AKIONGEA JINSI YA KUFANYA COLLABO NA T.I

Records, Jason Geter amesema ili msanii wa Afrika aweze kupata collabo na msanii mkubwa wa Marekani, anahitajika kuwa na ushawishi katika sehemu anayokotoka ili awe na kitu cha kumuongezea pia msanii huyo anayetaka kumshirikisha. Meneja wa T.I, Joson Gete akizungumza na wadau wa muziki Dar Jason Geter Akiongea kwenye warsha iliyoandaliwa maalumu kwaajili ya wadau wa muziki nchini Ijumaa hii, Geter alitolea mfano wa jinsi T.I. alivyokubali kufanya wimbo na P-Square. Alisema alipigiwa simu na rafiki yake aliyemueleza kuwa kundi la P-Square lingetaka kumshirikisha T.I. kwenye wimbo wake lakini bahati mbaya hakuwahi kuwasikia wasanii hao. “Kiukweli nilikuwa sijawahi kuwasikia kabla, kwasababu Marekani hawachezwi kivile, nina uhakika baadhi ya watu wanawafahamu lakini watu wengi Marekani hawawafahamu kabisa P-Square,” alisema. Geter alidai baada ya kuambiwa hivyo aliamua kufanya utafiti wake mwenyewe ili kuwafahamu wasanii hao na hivyo aliingia Youtube kuwatazama. “Nilipoenda kufanya utafiti wangu, nikasema wow, hawa jamaa ni wakubwa,” aliongeza. Alidai baada ya kuona ukubwa wake, aliona kuwa P-Square wana kitu cha kumuongeza T.I. “Sababu mashabiki wengi wa P-Square wanaweza kuwa hawajawahi hata kumsikia T.I. Kwahiyo hicho ndio kitu cha kwanza kwamba utaenda kumuongezea nini msanii wangu. Msanii wangu ana msingi wa Marekani kukupa, wewe utaweza kumtambulisha kwa kitu kingine?” Aliongeza kuwa hatua ya pili inahusisha masuala ya fedha na biashara ambapo huusikiliza wimbo anaotaka kushirikishwa msanii huyo. Alisisitiza kuwa mara nyingi suala la fedha au malipo ya collabo sio kitu wanachokiweka mbele zaidi ya kuzingatia kuwa ni nini msanii wake atakipata kutokana na kushirikishwa kwenye wimbo huo. “Sawa unayo fedha, sasa hatua ya pili, kitu gani unaweza kukioffer kwake, una kitu cha kuoffer kwa msanii wangu? Je wimbo ni mzuri? Kwahiyo hivyo ndio vitu ambavyo unahitaji kuvifikiria. Na mwisho wa siku zote unatakiwa kulinda brand yako.” Kuhusu njia anayotakiwa msanii kufanikiwa katika soko la muziki wa Marekani, Jason alisema jambo la kwanza ni kuwa na ukaribu na watu kama yeye ambao wana connection na watu wengi pamoja na brands ambazo zimesimama nchini humo. Geter alidai kufanya wimbo na msanii wa Marekani peke yake, haitoshi kwa msanii wa Afrika kufanikiwa kwenye soko la Marekani. “T.I. alifanya ngoma na P-Square, lakini kiukweli, inahitaji zaidi ya hivyo kupenya soko la Marekani,” alisisitiza Geter. “Inahitaji T.I. na P-Square kwenda kwenye game ya basketball pamoja na kutembea pamoja. Inahitaji uwekezaji huo wa muda kwa msanii wa Afrika kutumia muda kukaa kwenye soko la Marekani.” Geter alisisitiza kuwa kama msanii anataka kufanikiwa Marekani, anatakiwa kutake risk kwa kuacha fedha nyingi anazopata Afrika na kukubali kupata kidogo Marekani wakati anakuza jina lake. “Kama unaingiza dola 5 Afrika, unaweza kuja Marekani na utakuwa na bahati sana ukipata sehemu sahihi ambazo unaweza ukapata hata dola moja tu. Ni kazi sana kwa watu kuwekeza muda wa aina hiyo na nguvu katika chochote kile, hiyo ndio changamoto kubwa.” Geter alisema hilo linawezekana kwa kuingia ubia na watu ambao tayari wana nguvu huko kukusaidia. Kuhusu lugha ambayo msanii anatakiwa kutumia, Geter alisema muhimu ni kufahamu kuongea Kiingereza lakini sio lazima nyimbo ziwe za lugha hiyo kwakuwa muziki unaweza kufanya vizuri hata kama ukiwa umeimbwa kwa lugha nyingine. “Lakini yote ni kuwa kile ambacho tunafanana ni rhythm. Ni ile beat inayonifanya nicheze na pia hisia ambayo inagusa moyo. So in America to get played on radio and all that stuff, yes you need to know some English but if you got that beat right, we gonna move man.”msikilize apa
Friday, October 17, 2014
Thursday, October 16, 2014
KIJANA APIGISHWA MBIZI KWENYE DIMBWI
Wednesday, October 15, 2014
HALIMA JAMES MDEE AFUNGUKA MAZITO
Friday, September 5, 2014
AJALI MBAYA IMETOKEA HUKO MUSOMA LEO HII NI AJALI MBAYA
Ajali kubwa sana imetokea huko musoma leo,ni
mabasi mawili yamegongana uso kwa uso!!! Hadi
sasa watu zaidi ya #34 wameripotiwa kufariki
dunia papo hapo!!!
Na majeruhi ni #83. Inasikitisha sana kwani
nimeshindwa kuposti hata picha za majeruhi,,
Saturday, July 26, 2014
DIAMOND ASHINDA TUZO MBILI
Wanaziita African Muzik Magazine Awards
ambapo za mwaka huu 2014 zimetolewa huko
Eisemann center Texas Marekani na
kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali akiwemo
Diamond wa Tanzania ambae pia alikua
mmoja wa wanaowania tuzo.
Good news kwa mujibu wa meneja Babu Tale
ni kwamba Diamond ameshinda tuzo mbili
moja ya Msanii bora wa Afrika Mashariki na
nyingine ni wimbo bora wa kushirikiana ambao
ni ‘number one rmx’ alioufanya na Davido wa
Nigeria.
Stori zaidi na pichaz vitafata baadae hivyo
endelea kukaa karibu na millardayo.com mtu
wangu ili ujue kilichotokea kwenye tukio hili
ambalo limewahusisha wakali wengine kama
Davido, 2Face, Fally Ipupa, Iyanya, Flavour,
Wyre, Miriam Chemmoss na wengine ambao ni
sehemu ya watu kutoka nchi 17 za Afrika.
Sunday, July 20, 2014
DUH! DUNIA HII HATARI ONA MWENYEWE
Bora uwe na hamsini nzima kuliko mia mbovu. Vijana hawa walikua wakiiba wakakamatwa na wananchi wenye hasira kali na kuwekwa taili za gari na kuchomwa moto.
Friday, July 18, 2014
Lol!! VIDEO YA H-BABA IMEMGHARIMU LAKI NA NUSU
Video mpya ya H-Baba
imemgharimu Laki na Nusu tu
Star mwenye vipaji vingi nchini Tanzania H-
Baba amesema ukweli kuhusiana na gharama
zilizomgharimu katika video yake mpya ya
"Tubebane" itakayotoka hivi karibuni.
H amesema haina haja ya kuongea uongo ama
kudanganya Mashabiki wake kwa swala la
gharama. Amefafanua kuwa Video Production
amepewa bure. Pia ameoneshwa kukerwa na
wasanii wengine wanaodanganya kuwa
wamefanya video kwa gharama kubwa sana
kumbe wamefanyiwa bure, amekiri kuwa video
za gharama zipo hata ukitazama zinaonekana ila
wengi ni waongo.
Kwa hiyo mashabiki wote wa H-Baba muipokee
video hiyo ya "Tubebane"
Saturday, June 21, 2014
NJEMBA YAFUMANIWA IKILA UNYUMBA NA MKE WA RAFIKI AKE
Na mwandishi Jk boy
Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha,
mkazi wa Mabibo jijini Dar, amemfumania rafiki
yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe
Jack wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi
Mungu.Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita saa
12 alfajiri ambapo ilidaiwa kuwa Jack alikuwa
chumbani na mwanaume huyo ambaye ni
mpangaji, wenzake wakipeana maraha.
Imedaiwa kuwa, wawili hao walikuwa wakimtegea
Ngosha akitoka kwenda katika shughuli zake,
Jazira alikuwa akizama katika chumba cha rafiki
yake na kufanya mchezo wa kikubwa.
Wapangaji wenziye na Jack wamedai kuwa, mke
huyo wa mtu ambaye ana miezi miwili tangu
aolewe kutoka mkoani Tabora, amekuwa kero
katika nyumba hiyo kwani amekuwa akipiga
kelele za kimahaba nyakati za asubuhi ambapo
watu wengi wanakuwa wakielekea kazini.
“Hata sisi wanawake tunaoishi nyumba hiyo tuna
waume zetu tunawalilia lakini kinachotusikitisha
mwenzetu anamlilia Jazira badala ya mumewe
ambaye anakuwa amekwenda kazini,” alisema
mmoja wa wapangaji wa nyumba hiyo.
Imeelezwa kuwa, siku hiyo mlinzi wa msikiti
alikwenda kumwamsha Ngosha kwenda kusogeza
gari lake ili watu wapite na alipofika katika
chumba chake, alikuta mlango wa sebuleni ukiwa
wazi lakini hakukuwa na mtu, ila chumbani kwake
kulisikika redio ikizungumza kwa sauti kubwa.
Jirani mmoja aliyedai kuchoshwa na tabia hiyo,
alimshauri mlinzi huyo kwenda kusikiliza kwenye
dirisha la chumba hicho na waliposikia sauti za
kimahaba wakakubaliana wamtonye mjumbe wa
Serikali ya Mtaa wa Kanuni, Mabibo aliyetajwa
kwa jina la Asha ambaye alifika na kusikia
‘mchezo’ ukiendelea chumbani
Wakati huohuo, Ngosha akapigiwa simu kuja
kushuhudia mchezo huo mchafu wa mkewe
alioufanyia ndani ya chumba chake.
Mashuhuda wa tukio hilo walisema, alipofika
Ngosha nyumbani na kutonywa kilichotokea
alipandwa na hasira na kuangusha varangati kwa
rafiki yake lakini baadaye akatulizwa, akamtaka
Jazira amlipe shilingi milioni 1.2 ili amuachie mke
moja kwa moja.
JAZIRA ANA LAKI 2
Jazira alisema hakuwa na kiasi hicho isipokuwa
anaweza kulipa shilingi laki mbili tu, jambo
lililomfanya Ngosha kuomba msaada wa askari
mgambo na kumpeleka mgoni wake Kituo cha
Polisi cha Urafiki kwa ajili ya hatua zaidi za
kisheria.
Saturday, June 7, 2014
DIAMOND PLATNUMZ AMEHUDHURIA TUZO ZA MTV MAMA 2014
Diamond Platinumz amehudhuria tuzo za MTV MAMA2014 akiwa na kampani ya watu kadhaa kutoka Tanzania na mchumba wake Wema Abraham Sepetu, katika ukumbi wa ICC Arena, hapa Durban Afrika Kusini.
Diamond anawania tuzo mbili, Best Male na Best Collaboration (Number One Remix ft Davido).
Utaratibu ulianzia kwenye zuria jekundu aka Red Carpet na kupoz kwa ajili ya picha na waliungana na watu mbalimbali maarufu.
Kuhusu tuzo alizokuwa akiwania Diamond, Tuzo ya Best Collabo kupitia wimbo wa Number One Rmx imechukuliwa na Uhuru Ft DJ Bucks, Oskido, Professor, Yuri Da Cunha -Y-tjukutja, na tuzo ya Best Male Artist ilichukuliwa na Davido.
Hongera kwa Diamond kwa hatua kubwa kwenye muziki wa Kimataifa na kuwakilisha Tanzania Vizuri.
Friday, May 30, 2014
PIGO JINGINE BONGO MOVIE MWONGOZAJI WA MOVIE GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
NI pigo tena kwa tasnia ya Bongo Muvi,
mwongozi filamu Bongo na aliyekuwa mume
wa staa wa filamu Bongo, Yvonny Cherry
‘Monalisa‘, George Tyson amefariki dunia
baada ya kupata ajali mbaya ya gari eneo la
Morogoro akitokea mkoani Dodoma. Tyson
alikuwa ameambatana na watu kadhaa
katika safari hiyo.
Wednesday, May 28, 2014
MSANII RACHEL HAULE KUZIKWA KESHO
MSANII wa filamu Rachel Haule ‘Recho’
aliyefariki dunia siku ya jana atazikwa jijini
Dar es Salamm siku ya kesho badala ya
Songea kama ilivyopangwa hapo awali.
Ratiba ya kuuaga mwili wa marehemu
inabaki pale pale siku ya kesho Leaders Club
na baadae kwenda kuzikwa katika makaburi
ya Kinonondoni.